Samahani mkuu, naomba maelezo ya ziada. Kwa hiyo kama hivyo vigezo unavyo ndio unaweza kuomba hiyo kazi? Namaanisha mtu mwenye vigezo kama ulivyovitaja hapo juu anaweza kuwa qualified na hiyo kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.