Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
Mkuu huu uchambuzi wako ni wa kisiasa zaidi sio kitaalam Kwa sababu zifuatazo:-
1. Mikoa uliotolea mfano wako hawana matumizi ya umeme kabisa Kwa kuwa hawlkuna viwanda vingi wala migodi.
2. Wananchi wa mikoa hiyo wengi ni maskini na hawana umeme na matumizi Yao mengi ni kuwasha taa.
3. Jenho...
Kwa mujibu wa Ofisa wa NEC amesema kuwa Lissu kazuiwa kufanya kampeni lakini hajazuiwa kazi za chama.
Anaruhusiwa kufanya shughuli za Chama isipokuwa kufanya kampeni za urais, Ubunge na udiwani.
Chanzo: Clouds habari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.