Hapo umenena maana wengine humu hawana akili yeye huyo anayesema walimu Dv 4 tokea lini aliona chuo kukuu kinapokea watu wa dv4 ? You must speak with evidence ! Mungu akusamehe maana unaonekana huna busara wewe
wewe naona akili zako zimefikia mwisho wa kufikiri : there is logic thats fallacy ! :kijana mwenye akili huwezi kuandika kejeli kama hizo! KAMA HUONI CHA KUANDIKA KAA KIMYA
Tutaongea mengi kuhusu nani anafaa 2015;tutawataja wengi lakini nahitaji kuwakumbusha jambo moja wadau kwamba sisi wanadamu huangalia sura ya nje yaliyo ndani hatuyajui; MI NAFIKRI HUU NI MUDA MZURI WA KUMLILIA MUNGU ILI ATUPE VIONGOZI WAZURI WANAOTUFAA 2015 MUNGU ANAWAJUA VIONGOZI WAZURI...
Mi sidhani kama hili ni jambo la muhimu kujadiliwa na wasomi kama sisi wakati nchi yetu ina matatizo kibao ambayo tunatakiwa tuyatatue! O-level ndo wanatakiwa kujadili mambo kama haya! Lazima wasomi tujadili mambo ya maana bwana!
Jengo limeshaanguka kama hivyo;watu wamepoteza maisha,mali zao na mengine mengi, kinachotakiwa ni serikali kuangalia swala hili la ujenzi kwa upya ,kuweka mikakati mbalimbali ili kuzuia mambo kama haya yasitokee tena
Hata mimi nafikiri ni jambo zuri wakajiuzulu wawaachie wanaoweza majukumu hayo;si hivyo tu bali kama wanahusika kwa njia moja au nyingine katika ubadhirifu huo basi wawajibishwe na hasara iliyopatikana irejeshwe
Tanzania tunakwenda wapi ? Mimi nahitaji kujua hawa makandarasi watachukuliwa hatua gani hii sio mara ya kwanza jambo kama hili kutokea ;miaka ya juzi lilianguka jingine kariakoo lakini sina uhakika kama wahusika walichukuliwa hatua! uongozi tulionao kwa sasa sio wa kuzuia matatizo bali ni ni wa...
Kwa kweli Tanzania kwa hali tuliyo nayo tunahitaji mabadiliko; mabadiliko hayo yapo mikononi mwa wenye nia ya kuleta mabadiliko hayo ; ni vizuri kuwatia moyo na kuielimisha jamii isiyojua chochote kuhusu uchafu unaofanywa na serikali ya sasa; si vizuri kuwachafua wanaharakati hawa ambao wanawaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.