Recent content by Eagle Wa njano

  1. Eagle Wa njano

    MACHIMBO BORA YA MASHUKA NJE NA KARIAKOO NI YAPI?

    Wakuu naomba msaada kwa yeyote anaejua machimbo bora ya mashuka nje na kariakoo ni yapi? Maana huwa naskia tu mashuka ya Uganda, Taiwan, UK, Turkey Nk ila sijajua exactly ni wapi naweza pata tofauti na vitu vingine ambavyo ukihitaji unaenda kucheki Alibaba. Kwa wanaojua naombeni msaada wakuu
  2. Eagle Wa njano

    Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

    Sasa naanza kuiona Tanzania na Africa iliyokusudiwa, elimu na uzalendo wa watanzania kwa taifa lao. Kuhoji ni kutaka kujua nini kimefanyika vipi, sio tu kukokotwa Kama mambuzi na watawala, we need to challenge them ili kabla hawajafanya Jambo wafikirie Mara 2. Shida iliyobaki Sasa ni uwepo wa...
  3. Eagle Wa njano

    Je, katiba pekee ndio inaweza kubadili mienendo na siasa za Tanzania? Kama sio basi nini kifanyike kubadili siasa za Tanzania na Africa kwa ujumla?

    Habari gani mabibi na manabwa, karibuni tulijadiri hili. Kila siku utakuta watu wakilaumu serikali zao hasa za ki Africa kuhusu viongozi wetu na weakness za katiba, je katiba tu ndo inaweza leta matokeo chanya kwa taifa? Je katiba ndio chanzo cha mikopo isiyokuwa na ulazima? All in all ebu...
  4. Eagle Wa njano

    Kwanini bara la Afrika lipo nyuma kwa kila kitu kuliko mabara mengine?

    Habari gani ndugu wananchi? Kuna jambo limeliwaza sana hasa nilipokuwa nikitazama kombe la dunia hii leo kule Qatar. Shida hivi ipo wapi kwa nchi za kiafrica? Kwann kila kitu kibaya ni Africa? Uongozi, tunalalamikiana Africa, Sayansi na teknolojia tupo nyuma zaidi ya sana nahisi ndo wa Mwisho...
  5. Eagle Wa njano

    Je ukimya wa Umoja part (UPT) ni kiashiria cha kupotea mazima?

    Au ndo tuamini ya kuwa chama tawala kimetia nguvu ya kutosha ili kiwapoteze ikiwemo kuwanyima kibali cha go ahead🥺🥺
  6. Eagle Wa njano

    Je ukimya wa Umoja part (UPT) ni kiashiria cha kupotea mazima?

    Tangu ujio wa chama kipya cha siasa UPT kumekuwa na maneno mengi yanayozungumzwa chini chini hasa uhusika wa baadhi ya viongozi waliohudumu katika awamu ya 5 ndani ya CCM kuhusishwa na chama hiki. Baada tu ya kusikika kilipotea ghafla. Ukimya huu unasababishwa na mkono wa Serikali juu ya hiki...
  7. Eagle Wa njano

    Usajili wa Umoja Party unakawia kwa sababu Polepole kahamia Malawi?

    Nachoshindwa kuelewa ni kuona watu wanahusisha masuala ya nchi na ukabila, mbona kama Taifa tulishatoka huko miaka mingi?, Uwepo wa vyama tofauti katika nchi huchangia sana maendeleo zaidi ya vile watu tunadhani. Ebu ifike wakati tuache kuhusisha masuala ya kitaifa tuki ACT kama ni usimba na...
  8. Eagle Wa njano

    Bashiru anaongea kama Nyerere

    Tuweni tu wakweli hapa bila kupata chama imara ccm itaendelea kufanya kila itacho jiskia kufanya coz hakuna mtetemo wowote unao watisha na kuwafanya kuwa macho
  9. Eagle Wa njano

    Wanawake msaidieni mwenzenu

    Kwa ushauri wangu angeenda kwenye nyumba ya ibaada yoyote atsaidiwa, ila kwenye mitandao sjui na ukizingatia sio ugonjwa watu hawatachukulia serious
Back
Top Bottom