Kweli kaka. Unachokifikiria ndo utakuwa hivyo. Usiwaze nuksi kurogwa wala sijui mashetani. We Fanya kazi kwa kutegemea mafanikio , kinyume na hapo utahangaika mwishoni na wewe utakuwa mganga Wa kienyeji.
Hiyo kweli kabisa. Hata kwenye mikoa ya watu pia wana ako katabia. Pia wanapenda sana KUSUSA. Yani kitu kidogo tu basi AMESUSIA. Watu Wa kusini kama mpo humu ebu tuelezeni kulikoniii? Mimi Niko mikoa ya kaskazini uku kuna MTU Wa huko Lindi nafanya nae kazi ofisi moja, yani Huwa anapenda sana...
Kaka ndio kiki zenyewe izo. Akikaa kimya kama yule atatumbuliwa. Lazima aoshe kwenye Camera Mkuu. Bila kifanya kiki utaonekana hufanyinkazi na utatumbuliwa tyuu..
Hahaaa .. We jamaa hujielewi pumbav. We ulitaka amfanyeje? Usipoangalia atafanya nae mapenzi mbele yako. We msela bwege. Dunia pana pambana mtoto wa kiume usipende kubebwaaaa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.