mamaland Tanzania siku zako za furaha na bashasha naona zikiyoyoma kwa kasi ya barafu juani.... eeh Mwenyezi Mungu tunusuru na yatakayo fuatana na maamuzi yeyote ya Mwendokasi....kwa maamuzi haya tujiandae kuingia kwenye kumbukumbu za vitabu vya dunia
Ebu jaribu kujifikirisha kidogo uone ni kwa namna gani wafanyabiashara wanavyoendesha biashara zao il waweze kutengeneza profit...Tambua chanzo cha haya yote ni maamuzi ya kukurupuka yaliyofanywa ndo maana leo hii tunamtafuta mchawi....weka taratibu wezeshi kwa wafanyabiashara waagize sukari...
Ifike hatua maigizo yafike mwisho wake.....kama taifa hatuwezi kufika kule tunakohitaji endapo tutaendelea kuwa na viongozi wanaoshindwa kukubali makosa yao na KUJISAHIHISHA..uhaba wa sukari umesababishwa na maamuzi ya kukurupuka ya viongozi wetu wakuu...TOKA LINI SUKARI YA MATUMIZI YA VIWANDANI...
Habari zenu wanajukwaa....! Ningependa kufahamishwa juu ya maombi ya kujiunga na elimu ya juu nchini kupitia nacte na tcu...kwa wale wenye sifa equivalent I.e diploma au ftc wanaruhusiwa kuomba mpaka april 10 mwaka huu...ombi langu kwenu wadau naomba mnipe maelekezo ni kwa jinsi gani naweza...
Wadau naomben msaada wenu wa jinsi ya ku unlock nokia obama kwa kuwa security code zake nimezisahau na ninaamin humu kuna magwiji watakaoweza kunisaidia common unlock code kwa simu za namna hii.
NAWASILISHA
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nimemaliza diploma ya water supply and sanitation engineering toka chuo cha maji DSM.Nafanya kazi zote zinazohusu miradi ya maji na survey.
Phone number 0765653712.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.