Mr eagerbee hamna nyngne ndo hiyo 2 mkuu and it was the worst nightmare in life.
Anyway najaribu kufuata ushaur wa dr
Do you think nina over react.
Sidhani ka unaovereact I'm thinking you are hiding something
Habari wanaJF,kiukweli hiki kipindi kinachorushwa na ITV cha dume challenge nakipenda xana kwani kinaonyesha sifa za mwanaume wa Kweli.Kitu kinachonitatiza ni wale washiriki walitoka ina mana si wanaume wa kweli na hawatumii dume?naomba msaada wanandugu
Wanajamii wenzangu leo yamenikuta makubwa,nimeenda saluni kusuka yeboyebo ya Kilimanjaro(wadada wanaelewa staili ya msuko huu)nilisubiria zamu yangu ya kusukwa ilipofika nikakaa chini ndipo akaanza kusuka nywele za mbele apo hali ya hewa ilikuwa safi alipifika nywele za nyuma ndipo aliponambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.