Recent content by e nkwasi

  1. e nkwasi

    Wajue ma DED zaidi ya 74 wasimamizi wa Uchaguzi ambao ni wanachama wa CCM

    Anaweza akakurupuka kada mwingine huko akatafuta sifa kwa 'mtawala'
  2. e nkwasi

    Msaada juu ya minada ya Magari na vifaa mbalimbali bandarini

    Duh, kwa maana hiyo ni kwamba any faults zinakua juu ya mnunuaji? Hapo kuna mtihani Sent using Jamii Forums mobile app
  3. e nkwasi

    Msaada juu ya minada ya Magari na vifaa mbalimbali bandarini

    Habari wanajamvi, naomba mwenye ufahamu juu ya mnada wa Magari bandarini. Hasa kwenye uzima wa hizo gari, na taratibu za kukamilisha umiliki. Je ina usumbufu na gharama zaidi au kuna unafuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. e nkwasi

    Nauza shamba Bagamoyo

    Nitakutafuta mwisho wa mwezi. Ni kms ngapi kutoka bagamoyo mjini? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. e nkwasi

    Kwaherini wanaJF, nimegundulika nina ugonjwa wa Hepatitis B. Niliowakosea naomba mnisamehe

    Ugonjwa ulikuanzaje? Pole sana, mtegemee MUNGU. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. e nkwasi

    Usanii wa TASAF Namtumbo

    Kisarawe, Kibaha, Bagamoyo..., na nyingine kama 10 hivi. Huwa nawafatilia sana, ingia website yao utaona. Wako vizuri Sent using Jamii Forums mobile app
  7. e nkwasi

    Usanii wa TASAF Namtumbo

    Ni kweli, hilo tayari lilishaanza kwa baadhi ya Halmashauri. Taarifa za uhakika ni kwamba huo ndio utaratibu utakaotumika kuanzia awamu ya pili. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. e nkwasi

    Usanii wa TASAF Namtumbo

    Mimi pia ni mpinzani, lakini kwa hili la TASAF naipongeza sana serikali. Iliona mbali, wamana walikua wanaogopa hata kupeleka watoto clinic, hata nguo za kujifunga hawana. Acha kubeza Sent using Jamii Forums mobile app
  9. e nkwasi

    Usanii wa TASAF Namtumbo

    Wewe wasema, alieshiba hamjui mwenye njaa. Hiyo hapo chini ndio hali halisi iliyopo vijijini, sasa kaya kama hizo zikipatiwa ruzuku bado unasema ni upotevu wa kodi. Hao wote ni watanzania wanamuangalia rais wetu wa wanyonge Mh. Magufuli. Acha serikali ifanye kazi. Sio yote ya kupinga Sent using...
  10. e nkwasi

    Naomba ushauri, nataka kununua Subaru Impreza 1.5l ya mwaka 2010

    Nimekupata , hapo umenifunza jambo. Thanks Sent using Jamii Forums mobile app
  11. e nkwasi

    Usanii wa TASAF Namtumbo

    Ungejaribu kufatilia taratibu za ugawaji wa hizo ruzuku. Ki msingi kuna ruzuku inatolewa kwa kaya maskini lakini pia yapo malipo ya ziada kwa baadhi ya hizo hizo kaya maskini zinazoshiriki katika utekekezaji wa miradi i.e ujenzi wa barabara(community roads) kwa sehemu zile interior zisizofikika...
  12. e nkwasi

    Ushauri kwa Serikali: Kila anayetumia simu alipe 10,000 kwa mwaka

    Duh, Sent using Jamii Forums mobile app
  13. e nkwasi

    Naomba ushauri, nataka kununua Subaru Impreza 1.5l ya mwaka 2010

    Hapana, ni mapambano tu. Mgaa gaa na upwa. Ni ya kawaida tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. e nkwasi

    Naomba ushauri, nataka kununua Subaru Impreza 1.5l ya mwaka 2010

    Wadau, pengine hili jukwaa sio mahala pake ila naomba ushauri juu ya hasa uimara wa engine na technical faults zozote kama zipo kwa gari aina hiyo. Sina uzoefu sana na Subaru. Ni hatchback, haina tulbo. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. e nkwasi

    Afisa wa TAKUKURU mbaroni kwa kumbaka mtoto wa dada yake

    Binti itakua alijirahisisha. Mpaka analiwa tigo itakua alimtegeshea tu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom