Ingetosha kusemwa Mkazi wa Sumbawanga Hakuna haja ya kusema Afisa Takukuru kwa Kuwa tukio hilo halina uhusiano wowote Na ajira yake
Ni Sawa Na kutekwa kwa MO ingeanza kusemwa 'Muumini mmoja wa Shia Mohamed Dewji atekwa'
Au ingesemwa 'Mkristo mmoja apigwe Risasi' ikimaanisha tukio la Lissu kushambuliwa
Tujifunze kutaja wasifu wa Mtu kulingana Na tukio
Mf. Pascal Mayala akutwe Na Tuhuma Za kukwepa kodi uzihusishe Na u member wake wa JF
Ni Sawa Na kutekwa kwa MO ingeanza kusemwa 'Muumini mmoja wa Shia Mohamed Dewji atekwa'
Au ingesemwa 'Mkristo mmoja apigwe Risasi' ikimaanisha tukio la Lissu kushambuliwa
Tujifunze kutaja wasifu wa Mtu kulingana Na tukio
Mf. Pascal Mayala akutwe Na Tuhuma Za kukwepa kodi uzihusishe Na u member wake wa JF