Labda hujui kitu, mimi ni fundi kuna muda unakuta material yamebaki ofcn, afu hauna hela, unajikuta unapiga kazi ya hela ndogo na faida inaonekana sababu hujanunua material. Sasa huyo fundi anakutengenezea flame ya chuma kwa 35. Hiyo itakuwa ni flame ya stuli mkuu
Uvivu tu, vijijini huduma za afya ni mbovu au hakuna kabisa. Tafuteni mitaji fungua hata ka FAMASI kadogo mengine yatanyoka. Sema vijana wengi tunapenda mjini ili tuonekane tupo na sisi. Ila humu vijijini tuhela twa kuendesha maisha na kujiepusha kulilia hivyo, tupo. Karibuni bush a.k.a vileji.
Mleta mada ni ndezi tu, miezi miwili siyo muda wa kuijaji mbeya. Maswala ya chakula pia umechemka. Umesema ndiyo mkoa wenye vyakula vingi afu useme kila siku ni ugali/wali, ina maana umefikia sehemu ambayo wanakula hivyo kila siku. Zunguka mbeya vizuri.
Kama ni kweli, tumefika pabaya kama taifa. Lkn je balozi hakuwa hata na silaha yoyote. Mguu wa kuku. Kashindwaje kutawanya ubongo wa mtu mmoja aliyeejiingiza ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.