Recent content by Dzigbode

  1. D

    Hivi Dodoma kuna uswazi kweli?

    Sijawahi kufika Dodoma. Nahitaji kufika sasa. Mwenyeji yupo wapi humu.???
  2. D

    Hivi Dodoma kuna uswazi kweli?

    Mkuu naomba tuchat private
  3. D

    Kama Hujui Waulize Wanaojua: Historia ya Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Shida makala zako nyingi zimejikita upande mmoja. Ww ni miongoni mwa SUBJECTIVE HISTORIANS.
  4. D

    Kama Hujui Waulize Wanaojua: Historia ya Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Ukiachana na ulevi wa POMBE kuna huu ulevi wa UDINI.
  5. D

    Uzi wa fursa kwa watafutaji na wajasiriamali

    Salam kwenu wakuu. Nimeanzisha uzi huu tuweze kupeana connection za kimaeneo na fursa zilizopo kwa sisi watafutaji na watu wa kujilipua. Karibuni tujadili Kwa upande wangu nipo tukuyu. Fursa za ndizi, na tangawizi zipo za kutosha.
  6. D

    Malezi magumu ya utotoni ndiyo yaliyonijenga kuwa mtu wa kanuni na utaratibu mpaka leo

    Mtoa post kwa sasa bado upo kilemakyaro au wapi, nataka nikuulize?
  7. D

    Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka

    Upo sahihi mkuu, ndiyo ninachokifanya sasa, bidhaa moja kwa kuwalenga watu husika tu. Inalipa.
  8. D

    Sikugonga Kitu Chochote, Lakini Nilipata Ajali: Simulizi ya Tukio la Kushangaza Lililonibadilishia Eneo la Kazi

    Hii hali imenitokea leo asubuhi nikiwa naelekea kazini. Pamoja na kwamba sijaanguka ila pikipiki imetoka kabisa barabarani. Uzuri ni kwamba sikushika breki za ghafla au kuilazimisha kurudi barabarani maana kwa kufanya hivyo lazima ningeanguka. Tahadhari...... Unapokuwa barabarani na pikipiki...
  9. D

    Wanaharakati wanasababisha walinzi wetu na viongozi kuandamana mwezi mzima kabla ya tarehe 7/7 si ajabu wakaahirisha tena wakapanga tarehe nyingine

    Jina linasadifu. Kiswahili Tambi. Ka-hali ya kudogosha 🤣🤣🤣 Hivyo Ka-tambi yani kadogo sanaaa
  10. D

    Mshahara Laki 7 unavaa Tai hadi shingoni

    Mimi naombeni kuuliza, hivi kweli wanalipwa laki 7???? Mbona wanamaisha magumu kuliko wanaoingiza 10k kwa siku. Kwa mwezi 300k. Shida nn??
Back
Top Bottom