Salam kwenu wakuu.
Nimeanzisha uzi huu tuweze kupeana connection za kimaeneo na fursa zilizopo kwa sisi watafutaji na watu wa kujilipua.
Karibuni tujadili
Kwa upande wangu nipo tukuyu. Fursa za ndizi, na tangawizi zipo za kutosha.
Hii hali imenitokea leo asubuhi nikiwa naelekea kazini. Pamoja na kwamba sijaanguka ila pikipiki imetoka kabisa barabarani. Uzuri ni kwamba sikushika breki za ghafla au kuilazimisha kurudi barabarani maana kwa kufanya hivyo lazima ningeanguka.
Tahadhari......
Unapokuwa barabarani na pikipiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.