Recent content by Dzigbode

  1. D

    JamiiForums Tanzania Sasa najitunza DIY ya furnature na welding kwaajili ya matumizi ya nyumbani

    Labda hujui kitu, mimi ni fundi kuna muda unakuta material yamebaki ofcn, afu hauna hela, unajikuta unapiga kazi ya hela ndogo na faida inaonekana sababu hujanunua material. Sasa huyo fundi anakutengenezea flame ya chuma kwa 35. Hiyo itakuwa ni flame ya stuli mkuu
  2. D

    JamiiForums Tanzania Sasa najitunza DIY ya furnature na welding kwaajili ya matumizi ya nyumbani

    Mafundi wana overate bei au siyo 😅😅😅😅. Ingia mzigoni utajua tu.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Inawezekana katika hustle ukakutana na zali la mentali, kwani Pro J kwenye wimbo wake yule manzi walikutana ndotoni.
  4. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

    Nenda kajaribu uvione vya live 🤣🤣🤣🤣
  5. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    Ukimpenda, utamheshimu, ukimuheshimu, utamlinda. Try to be a man
  6. D

    JamiiForums Tanzania Watanzania wameyakataa kabisa majiko ya umeme, hivi ni ujinga au ushamba?

    Ningekuwekea ndugu yangu, ila kwa sasa nipo nalo mbali
  7. D

    JamiiForums Tanzania Ukishindwa kumiliki mjengo kama huu basi wakuchape viboko wakuue.

    Contena moja milioni 1, x3 sh 3m. Uwanja, ufundi, decoration unashangaa 20m hii hapa
  8. D

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wa Kozi ya Unesi kwa jinsia ya kiume wanateseka sana kupata ajira hasa vituo binafsi. Mnaofikiria kusoma hii kozi mlitazame hili

    Uvivu tu, vijijini huduma za afya ni mbovu au hakuna kabisa. Tafuteni mitaji fungua hata ka FAMASI kadogo mengine yatanyoka. Sema vijana wengi tunapenda mjini ili tuonekane tupo na sisi. Ila humu vijijini tuhela twa kuendesha maisha na kujiepusha kulilia hivyo, tupo. Karibuni bush a.k.a vileji.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Hence proved. Mbeya ni kijiji kikubwa

    Mleta mada ni ndezi tu, miezi miwili siyo muda wa kuijaji mbeya. Maswala ya chakula pia umechemka. Umesema ndiyo mkoa wenye vyakula vingi afu useme kila siku ni ugali/wali, ina maana umefikia sehemu ambayo wanakula hivyo kila siku. Zunguka mbeya vizuri.
  10. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu huwa ananiwekea chakula kidogo kwenye sahani sishibi, kumuambia naona aibu

    Huyu MUVULANA wa wapi?
  11. D

    JamiiForums Tanzania Usisahau kujenga Kwenu, Nyumbani ndio sehemu inayofaa kurudi ikiwa maisha ya ugenini yamekuwa magumu, kuuguzwa, kuzeekea na kuzikwa

    Sasa ikiwa umezamia ambako siyo kwenu, mkoa wa mbali, unafanya biashara au ni ajira ya kudumu. Je utaanza kujenga nyumbani au mahali ulipo.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Wimbi la watoto kuvuta sigara na Wanawake kujichubua linatisha

    Daah kuna huku wanyakyusa bush. Sijui nani kawaloga. Yani wamechubuka hatari
  13. D

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Kama ni kweli, tumefika pabaya kama taifa. Lkn je balozi hakuwa hata na silaha yoyote. Mguu wa kuku. Kashindwaje kutawanya ubongo wa mtu mmoja aliyeejiingiza ndani
Back
Top Bottom