Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na
Michezo, Nape Moses Nnauye, amesema
Televisheni ya Taifa imeacha kurusha LIVE
kipindi cha Bunge kuanzia jana ili kubana
matumizi. Na itakuwa ikirekodi baadhi ya
matukio na kuonyesha usiku.
Kama mtanzania, unadhani unatendewa
haki?
Anatafuta wa kubadilishana
Ni mwalimu wa shule ya msingi... Nipo Wilaya ya Temeke.... Natafuta mtu wa kubadilishana maeneo ya kazi... Nahitaji kuhamia Wilaya ya Kinondoni.
Wasiliana na namba hii
0718043983
Mbona hujiulizi kwanini atangazi Baraza la Mawaziri mpaka sasa?
Siasa mchezo wa kuviziana... Tulia usikie wanakuja na lipi.
Akili za kubemendwa sio wakati wake huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.