Recent content by duvet

  1. D

    ESS ni janga kwa watumishi wa umma si msaada siku ya tano mfumo haupo hewani, na hakuna tarifa rasmi

    Kitu kinachosikitisha zaidi hakuna anayejali malalamoko ya huu mfumo no mwiba na yamegharimu watu wengi sana mie ningependa usitumike tena .unaomba mkopo wiki 2 unagoma daaah
  2. D

    Mwenyekujua jinsi ya kutatua hii changamoto ya Mfumo wa ESS anisaidie

    Nina changamoto ya kutumia mfumo huu wa ess nimeomba mkopo crdb bank week mbili zilixopita ili kupata mkopo ila kila nikifikia stage ya ku submit code namba kwenda utumishi inagoma na kuandika something went wrong .naomba msaada wenu mwenye uelewa zaidi
  3. D

    Kuna changamoto katika kupata salary slip kwenye mtandao

    Ninaomba mamlaka husika watatue changamoto hii kwani watu watumishi wengi tunapata shida kupata salary slip kwa mahitaji mbalimbali
  4. D

    Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Usiwe na presure muoe tu kizuri unakula na wenzio acha uchoyo uncle
  5. D

    Duh hii imekaaje

    Shida yake sio wewe ana kitu anakihitaji toka kwako mkuu.
  6. D

    CRDB mmezidi na mnakatisha tamaa

    Alichokiongea ni kweli kabisa ilikuwa bank yenye kutoa huduma bora sana lakini hili swala liangaliwe na uongozi wa juu.si hivyo tu pia wizi au udokozi kwenye account za wateja umekuwa toi much
Back
Top Bottom