Siku ukija kushituka utakuwa umechelewa sana ndugu cha muhimu mkalishe chini umwambie ukweli kuhusu maisha yako akizingua achana nae japo inauma naamini utakuja kumsahau
Sisi wakazi wa nyamongoro nyanguganwa tunateseka sana na swala la maji hii kero itaisha lini?viongozi mpo na hamsemi chochote tunaomba waziri wa maji achukue hatua kali ya kuwawajibisha watendaji kwa uzembe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.