Recent content by duvet

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nitajie manispaa zlizochoka zaidi kwa Tanzania

    Bukoba
  2. D

    JamiiForums Tanzania ESS ni janga kwa watumishi wa umma si msaada siku ya tano mfumo haupo hewani, na hakuna tarifa rasmi

    Kitu kinachosikitisha zaidi hakuna anayejali malalamoko ya huu mfumo no mwiba na yamegharimu watu wengi sana mie ningependa usitumike tena .unaomba mkopo wiki 2 unagoma daaah
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wametugeuza wanaume chanzo cha mapato, ole wetu wallet zisisome

    Wachangiaji wana maumvu ya kuchunwa .
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mwenyekujua jinsi ya kutatua hii changamoto ya Mfumo wa ESS anisaidie

    Nina changamoto ya kutumia mfumo huu wa ess nimeomba mkopo crdb bank week mbili zilixopita ili kupata mkopo ila kila nikifikia stage ya ku submit code namba kwenda utumishi inagoma na kuandika something went wrong .naomba msaada wenu mwenye uelewa zaidi
  5. D

    JamiiForums Tanzania Ulikabiliana vipi na suala la upotevu wa nywele (kipara) kwa mara ya kwanza

    Ni ya kweli hayo mkuu
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nimeletewa bill ya maji isiyo sahihi. Naomba msaada kwa mwenye Uelewa

    Yan watu wengi tunachangamoto hiyo
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto katika kupata salary slip kwenye mtandao

    Asante mkuu
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kuna changamoto katika kupata salary slip kwenye mtandao

    Ninaomba mamlaka husika watatue changamoto hii kwani watu watumishi wengi tunapata shida kupata salary slip kwa mahitaji mbalimbali
  9. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepigwa na kitu kizito, mwanamke ninaetaka kumuoa nimebaini hajatulia

    Usiwe na presure muoe tu kizuri unakula na wenzio acha uchoyo uncle
  10. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Duh hii imekaaje

    Shida yake sio wewe ana kitu anakihitaji toka kwako mkuu.
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kwa nini baadhi ya watu hufurahia viongozi, wasanii wanapofariki au kupata misiba?

    Watanzania wengi roho zetu si nzuri
  12. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeombwa namba na sijatafutwa hadi mida hii

    Anaogopa uti mwaya
  13. D

    JamiiForums Tanzania CRDB mmezidi na mnakatisha tamaa

    Alichokiongea ni kweli kabisa ilikuwa bank yenye kutoa huduma bora sana lakini hili swala liangaliwe na uongozi wa juu.si hivyo tu pia wizi au udokozi kwenye account za wateja umekuwa toi much
  14. D

    JamiiForums Tanzania Sababu gani zinakufanya uchelewe kulala? na nini kinakusaidia kupata usingizi?

    Njoo tulushiane maji ili ulale vzr
Back
Top Bottom