Kitu kinachosikitisha zaidi hakuna anayejali malalamoko ya huu mfumo no mwiba na yamegharimu watu wengi sana mie ningependa usitumike tena .unaomba mkopo wiki 2 unagoma daaah
Nina changamoto ya kutumia mfumo huu wa ess nimeomba mkopo crdb bank week mbili zilixopita ili kupata mkopo ila kila nikifikia stage ya ku submit code namba kwenda utumishi inagoma na kuandika something went wrong .naomba msaada wenu mwenye uelewa zaidi
Alichokiongea ni kweli kabisa ilikuwa bank yenye kutoa huduma bora sana lakini hili swala liangaliwe na uongozi wa juu.si hivyo tu pia wizi au udokozi kwenye account za wateja umekuwa toi much
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.