Kiongozi, sifa mmoja ya discussion za humu ni kwamba somehow mtaelewana at some point hata kama mko na mitazamo tofauti. Ila vijana wa yule mwalimu wa hisabati aitwaye polepole wanapenda sana kuwa "equidistant" na wengine. Kwa hiyo kama hauna mpango wa kuelewa huko mbele, tuendelee na mambo...
Mzee kuna tofauti kati ya kiongozi wa umma, mtumishi wa umma, viongozi wa serikali etc. Huyo wa kuchaguliwa atajiuzulu vipi sasa au amekuwa kina waitara ?
Ndugu yangu miaka 20 sasa (1998-mv bukoba), na zingine nyingi hapa kati tuendelee kupeana tu pole bila kuambiana ukweli?. Lazima tuache ujinga wa kujisifia kuwa tuna uwezo wakati vitu vya msingi kama uhai wa RAIA wetu ni shida!
Chai si anakunywa tu kila siku, tatizo ni jinsi matukio yanavyokosa ushirikiano, mfano mwingine ni uagwaji wa miili ya wapambanaji kwenye ule msiba mwingine na ufunguaji wa ka tawi ka benki...anyways ni mambo magumu kidogo kuelewa nafasi yetu wanyonge kwenye huu utawala!
Ametumia reaction ya watu kupitia tukio la msiba kuonyesha kukubalika kwa jpm vs other east African Presidents. Kwa jinsi anavyojipambanua kuwa wa huko kwa Nyerere ,nilitegemea auzungumzie msiba huu kwa namna ya kutafuta solution bila ushabiki, kwa sababu hii ni mara pili wanapotea zaidi ya watu...
Hili ni andiko nzuri na very objective , serikali itimize wajibu wake wa kikatiba. Wenyeviti wa ulinzi na usalama tafsiri yake ni pana na inaonekana wanafikiri ni kupambana petty issues kama maoni kinzani kwenye mitandao!
Mkuu Gentamycine, Mara nyingi nimekuona ukijinasibu kuwa wewe ni wa huko kulikotokea ajali, just know this is about hundreds of lost life siyo kuhusu ujinga wa kusifia kiumbe kinachojamba kama wengine na kisichoweza kuogelea hata kwa dakika 5 kwa sababu ya kibetri....usilete masikhara watu...
Kwa hiyo Jamaa ndiyo SI Unit ya ukweli?. Anyway, hapo kwenye kutokuweza kujizuia jamaa yetu ni kama Spiff wa the Johnsons, tunaweza kupata yaliyojificha kwa urahisi
Pamoja na drama zoooote, rule of thumb ni kwamba ,while quality of wine improves with aging(generally),the quality and impact of juju/limbwata/.....either deteriorates with time or improves in opposite direction(Back fires)-Duuma studies.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.