Jaman naomba msaada wenu..,
Katka ufugaj wa kanga
He, kanga anataga Mara ngap kwa mwaka na maxmum ni mayai
mangapi kwa awamu .moja..
Na kuhusu magonjwa na tiba ama chanjo ikoje..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.