Wadau ninamtaji wa mil 9 ambazo nimezipata kwenye uchimbaji wa dhahabu. Ila nahofia kizirudisha kwenye uchimbaji maana ni kazi ya bahati.
Natamani sana kufanya biashara ya nafaka dar, ila sina uzoefu. na yalikuwa matamanio yangu ya mda mrefu kufanya hii biashara.
Tadhari mwenye uzoefu anisaidie.
Hivi ni majambazi au magaidi?
Mimi nimesoma wanadai aliyewauwa ni mmoja.
Na nimeachwa na maswali yafuatayo;
1) kama asikari waliuwawa wote no nani aliyeyeripoti ya kwamba aliyewaua maaskari wetu ni mmoja?
2) hivi ni jambazi au Gaidi?
3)Ni nani aliyeanza mashambulizi kati ya polisi na...
Watanzania mniombee!!!
Malaika waishi kama mashetani!!!!!?
Eti mpenzi wa Mungu!!!!!
Pia Mzalendo na anaumia kuona rasilimali za nchi yake zikiibiwa!!!!!
Ila hapa kazi na kweli kazi kama kazi zingine.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.