Samia na Sirro walijitutumua kuwa ushahidi umekamilika na wanamashahidi wakutosha... Kwa upuuzi huu unaofanyika ni dhahiri kuwa kuwa DPP alimdangaya Rais na IGP.. kiukweli hawa watu hawana mashahidi...
Ushahidi wao n wa kuungaunga sana! Serikali iache kuchezea kodi za wananchi kwenye kesi...
Likitu ni ligonjwa alafu linahangaika kutoa ushahidi wa uongo... Kiapo ulichokula na dhambi unayotenda lazima upigwe strock ukiwa kizimbani... Siku yako ya mwisho ya kutoa ushahidi ndio itakua mwisho wa maisha yako hapa duniani na utaweka rekodi ya mashahidi wa mchongo waliofia kizimbani! Shit
Hayo maji yapo wapi ndugu yangu? Kwa taarifa Mbezi Mwisho hakuna maji bombani wiki imekata sasa! Ukishakua na serikali ya siasa za maji taka usitegemee kupata maji safi ya uhakika.
Kujenga hoja ili utetee dhulma ni ushetani.. watu walivokuwa wanateswa na kunyimwa haki zao za kuishi kwann hakujenga hoja za kuwatetea? Bila shaka alikaa kimya ili kutetea tumbo lake. Kwake yy tumbo n muhimu kuliko uhai wa wengine! Angekuwa kijana makini angepaza sauti na km wangekataa...
Polepole anajaribu kujisafisha kwa utumbo alioufanya kipindi cha jpm. Unafiki umemjaa sana kikongwe huyu! Alihujumu uchaguzi 2020 saivi anajifanya anatufundisha demokrasia! Katika uongozi wao na bashiru watu walitekwa na kuuawa saivi anajifanya anatetea wanyonge! Katiba mpya n muhimu sana ili...
Kwahiyo kila anaeweza kuishi mjini akimtunishia Rais misuli hii nchi itakuaje? Polepole kuweza kwako kuishi bila kutegemea ubunge c kigezo cha kumtukana na kumdhalilisha Rais utakavyo.. ukome km ukivyokoma kunyonya ziwa la mama yako!
Sisi wenye nchi tunataka mkataba uwekwe wazi! Kama ni mzuri mnafichaficha nn? Kwahyo Mseveni alivyokuja Tz mlikubaliana Balozi atoe press ya kutupumbaza?? Shame upon ur face!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.