Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022

hunahojaya kunijibu ndiyo maana huwezi kushindana kwa hoja unalazimisha hoja zako ndiyo ziwe sawa kwaniniusiachie mahakama kwanini unakataa kuwa mbowe ni gaidi?
WIGWA ww hujui chochote hii ni kesi ya kisisa hakuna ugaid hapo. Makomandoo walikamatwa kwa sababu ya sabaya kumkomoa mbowe. Sabaya alikuwa anataka mbowe aangamie. Sasa unatetea ujinga tu
 
Likitu ni ligonjwa alafu linahangaika kutoa ushahidi wa uongo... Kiapo ulichokula na dhambi unayotenda lazima upigwe strock ukiwa kizimbani... Siku yako ya mwisho ya kutoa ushahidi ndio itakua mwisho wa maisha yako hapa duniani na utaweka rekodi ya mashahidi wa mchongo waliofia kizimbani! Shit
 
Mwenye macho aambiwi Tazama Kuna msemo usemao

The search for truth takes you where the evidence leads you, even if, at first, you don't want to go there..

Haya ya Kibatala kamkalisha shahidi sijui shahidi Urio wa Mchongo asee

Hapa ilibidi Njia za ziada na sahihi kutumika katika kuhakikisha Mbowe hafungwi,

Story za akina Hilda na Yule Martin Masese Mtandaoni msiridhike nazo.

Kama unajiamini saanaa pinga nayodokeza.

Tunamweka Matatizoni Mbowe Badala ya Kumtetea tunaleta Mbwembwe kwenye kesi ya Msingi.

Mbowe Omba msamaha yaishe hata kama hatuna uhakika na kosa lako.

Sisemagi Mengi ntafufua huu Uzi in two months to come
Masikini Mataga pori umepanic kweri-kweri baada ya shahidi wenu kuharisha damu kizimbani.

Sisi tuko mahakamani tunafatilia kesi jinsi kingai na boaz wanavyoiacha uchi jamuhuri, hayo ya kina hilda sijui nani sisi hatuyajui hata.
 
Asante Mkuu Nyendo kwa kutuunganisha na Mahakama

Kesi hii inaendelea kuwaweka peupe waliokuwa hawajulikani.
Likesi la kijinga eti bado mamlaka wanashupaza shingo watajua hawajui pale mkuu wa nchi atakapo tinga mahakamani ,hakuna Alie juu ya sheria,alisema wenzake na mwenyekiti Mbowe wanatumikia kifungo, lazima atinge tujue nani aliemwambia?

Mbwai mbwai
 
Mwenye macho aambiwi Tazama Kuna msemo usemao

The search for truth takes you where the evidence leads you, even if, at first, you don't want to go there..

Haya ya Kibatala kamkalisha shahidi sijui shahidi Urio wa Mchongo asee

Hapa ilibidi Njia za ziada na sahihi kutumika katika kuhakikisha Mbowe hafungwi,

Story za akina Hilda na Yule Martin Masese Mtandaoni msiridhike nazo.

Kama unajiamini saanaa pinga nayodokeza.

Tunamweka Matatizoni Mbowe Badala ya Kumtetea tunaleta Mbwembwe kwenye kesi ya Msingi.

Mbowe Omba msamaha yaishe hata kama hatuna uhakika na kosa lako.

Sisemagi Mengi ntafufua huu Uzi in two months to come
Kwani kufungwa atakuwa wa kwanza? Mandela alifungwa, echilema alifungwa pia
 
Hii kesi angekuwepo;

1) Tundu Lissu
2) Peter Kibatala
3) Nashon Nkungu
4) Fredrick Kihwelo.
5) Mtobesya.
6) John Malya.
7) Fatma Karume.

Jopo la mawakili watetezi lingekua poa sana, formation hapo ingekua imekamilika ipasavyo, mashahidi wangeshikwa matumbo ya kuharisha.
Mkuu hata formation iliyopo ni nzuri tu! Inatosha kuwatoa jasho Mawakili wa Jamhuri na mashaidi wao.
 
Mpelelezi mkuu hawezi kutetea upelelezi wake sasa waliwashikilia vijana wa watu kwa kosa gani? Kwa hadithi za kutunga za luteni Urio?
 
Asante Mkuu Nyendo kwa kutuunganisha na Mahakama

Kesi hii inaendelea kuwaweka peupe waliokuwa hawajulikani.
Wataumwa kila siku hadi waharishe. Yaani mtu analala nyumbani a ansinzia vizuri na kula vizuri ndiye anaumwa kuliko walioko selo usingizi wa mawazo, mbu tele, baridi na joto ndio kwao.
 
Wakili msomi Peter Kibatala ni mmoja wa Mawakili mahiri kutokea katika nchi hii. Ikipendeza namshauri Mhe. Rais amteue Wakili msomi Peter Kibatala ili amsaidie Serekalini yake. Huyu anafaa kuwa DPP.
Ushauri wa kipuuzi huu. Msomi mahiri kama Kibatara afanye kazi na serikali onevu na fisadi haiwezekani
 
Hii kesi mm naomba iendelee hivihivi,, hata kama mbowe ana mawazo ya kuomba msamaha basi achelewe sana..

Tunajifunza mambo mengi sana kupitia hii kesi,, Watu tunaowaamini na usalama wenu tunawaona jinsi wanavojikoroga..

Wapelelezi wanashindwa kuelezea upelelezi wao,,,nafikiri Maafisa wengi wa polisi hawana ujuzi wana kile wanachofanya,, ila wamejificha tu kwenye kivuli cha vyeo,,na ni vile kijeshi mkubwa hahojiwi,,, ila kiukweli ni vilaza sana...

Acha inyeshe..................
 
Kibatala: Kwa hiyo hata nikikwambia Kwamba Mzee Ling'wenya ilibidi aitishe Kikao cha Ukoo/Familia Kujadili suala la Mtoto wao Kwenda Kwa Luteni Denis Urio
Wao anadhani tukiondoka nyumbani tunatoroka tu. Lazima Tuage wahenga kwanza.
 
Hii kesi mm naomba iendelee hivihivi,, hata kama mbowe ana mawazo ya kuomba msamaha basi achelewe sana..

Tunajifunza mambo mengi sana kupitia hii kesi,, Watu tunaowaamini na usalama wenu tunawaona jinsi wanavojikoroga..

Wapelelezi wanashindwa kuelezea upelelezi wao,,,nafikiri Maafisa wengi wa polisi hawana ujuzi wana kile wanachofanya,, ila wamejificha tu kwenye kivuli cha vyeo,,na ni vile kijeshi mkubwa hahojiwi,,, ila kiukweli ni vilaza sana...

Acha inyeshe..................
Hatimaye mchawi akajulikana
 
Back
Top Bottom