Recent content by dungune

  1. dungune

    Je, watu weusi wanaonewa?

    Kumekuwa na malalamiko yanayo tafsiri ubaguzi kwa watu weusi. Wiki moja iliyopita moja kati ya matukio yalio shika vicha vya habari ni pamoja na tukio linalo onyesha mchezaji wa club ya westham Kurt Zouma akimpiga mateke paka wake. Umoja wa haki za wanyama umetafsiri kitendo hicho kama ukatili...
  2. dungune

    Siku ya wapendanao valentine's day itanitoa roho..😬

    😂😂😂😂mbinu moja konki sana
  3. dungune

    Sheria inasemaje kuhusu kuzaa na mke wa mtu?

    swa sawa mkuu tayari nimeanza utaratibu wa kumaliza hili nategemea jumanne nitaleta mrejesho hapa
  4. dungune

    Siku ya wapendanao valentine's day itanitoa roho..😬

    Tarehe 14 February almaarufu siku ya wapendanao. Nataka kujua siku hii inalenga wapenzi tu wa jinsia moja au ni mapenzi kwa jamii yote ?mana dada zetu wanataka kuitumia kujinufaisha. Katika mwezi unao nipa changamoto ni mwezi wenye hii sikuku huwa mpka mahusiano yangu yanaingia dosari kubwa...
  5. dungune

    IPhone 13 camera hamna kitu

    ukweli unauma i phone wanauza jina 😁😁😁🚶🏿‍♂️
  6. dungune

    Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

    Usikute kapoteza kweli angalia namna ya kumsaidia mrembo. au weka namba zake hapa kina baba huruma tumsaidie.
  7. dungune

    IPhone 13 camera hamna kitu

    😁😁😁dahh naona umetangaza vita na kina mboga saba i13 vs n8
  8. dungune

    Samsung Galaxy S22 ultra, ubunifu umefika mwisho

    ushindani wa kutoa simu kila mwaka ndio unaleta yote haya s22 imekuwa kama note 20 utra kwa mwonekano wa nje.
  9. dungune

    Vibonzo na ujumbe mkubwa ndani yake

    langu jicho.
  10. dungune

    Vibonzo na ujumbe mkubwa ndani yake

    🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️🚶🏾‍♂️
Back
Top Bottom