With this trend of countless demonstrations inaashiria wazi tuna tatizo la kimsingi lakini ni nani kati ya Viongozi wetu mwenye ujasiri wa kujipambanua na kutoa tamko au maamuzi yenye mlengo wa kutatua tatizo la msingi!!
Zaidi sana wanafanya high fly mgt decision na kutumia vyombo vya dola...
Mzee wa Rula naelewa hoja yako juu ya inflation. Lakini ninamashaka na hawa jamaa wa Habari Leo maana inawezekana kabisa wanatumika kueneza propaganda zisizo na tija kwa taifa letu. Ukizingatia Umeme wetu ni wa mawazo na hii imepelekea production kushuka mno ikiwa na maana hata mapato yameshuka...
Mkuu Invisible! Heri ya Mwaka mpya.
Kwanza nikupongeze kwa jitihada zako ktk kutumegea yaliyojiri kati ya Tanesco na Dowans. Mashaka yangu ni kwamba document uliyopost haijakamilika and in order for the one to make a proper and an informed argument should have gone through the whole document...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.