Mimi ni mwajiriwa serikalini.nilipanga Mwaka huu nihamie kwangu kutoka nyumba ya kaka.Nilijenga nyumba bado kupaua.
CHANGAMOTO.
Mwezi wa Aprili Mwaka huu bosi alinichongea Kwa mwajiri Wangu jambo zito.
Nilipoongezwa mshahara mwezi wa saba nilipanga nikope kumalizia nyumba yangu lkn mpaka Leo...
Habari wadau wenzangu wa Jf.
Kuathirika sio mwisho wa maisha kwakuwa kuna watu wameathirika na wanafanya shughuli zao kwa Amani Kabisa.Wanafanya biashara wanafanya kazi serikalini. Wanasoma shule Vyuo vya kati hata vya juu.
Wengine wapo kwenye ndoa na wameathirika na hawashituki chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.