Recent content by Dumuzii

  1. Dumuzii

    Huyu shemeji yangu alijifanya ananikomoa

    Reje kichwa cha haba ri hapo juu. Huyu mke wa binamu yangu alitaka kuniharibia ndoa yangu ila kilicho mkuta haamini. Binafsi kabla sijaoa hakuna nimesha date na wanawake wengi sana walio nijengea uwezo wa kuwamudu wanawake na kujua jinsi gani ya kudili nao. Hivyo katika hizo harakati zote...
  2. Dumuzii

    Hitimisho la Kesi: Final, Nimemalizana na ishu za mahakama Kuhusu Talaka

    Ukimya wake haumaanishi yameisha kaka mkubwa. Kwa sasa ndio wakati wako wakuwa makini kuliko mwanzo .....haija isha hadi iishe kwa hawa ndugu zetu ndio kaulimbiu yao yaani baada ya kuchana nane anacho taka kukiona kwako ni umefulia umekua mbwa takataka....Ila kama bado upo imara unafuraha zako...
  3. Dumuzii

    Ukweli utabaki kuwa ukweli

    Omba Omba wa sikuhizi mnamakasiriko hatari
  4. Dumuzii

    Wadada wazuri mna shida gani lakini?

    Sio Kwamba wanawapenda Bali nyie ni retirement plan yao yaani baada ya kugongwa wee wakichakaa nyie ndio pumnziko lao
  5. Dumuzii

    Israel wiki ijayo Israel akishapokea tu mzigo wa Bomu la Bunker Buster kutoka kwa USA basi IRAN ni chali

    Wewe unahisi hawa ambao hawajitapi hawana hizo bloku basta .....?punguza kufuatilia kiki za mmarekani kujitutumua
  6. Dumuzii

    Hii ni ramani ambayo hata mtoto mdogo anajua Iran hakuna mahala anakwenda

    Hiyo mbinu ya mmarekani ilishwa pitwa na wakati tangu sekeseke lake na kiduku. Yaani saizi wamestuka hawagombani na kambi mmarekani akileta ujinga watu wanapeleka moto direct Washington. So hayo makambi are useless ndio maana trump yupo kwenye mchakato wa kuyafuta
  7. Dumuzii

    Naomba mnishauri kuhusiana na huyu dada yangu mkubwa

    Punguza kiherehere kama watoto sio wako je.... ameamua kumpelekea mwenye watoto wake je
  8. Dumuzii

    Elimu kwa sasa ni Ufunguo wa Kufuli lililopotea

    Maswali ya Kuzingatia kwa Maisha ya Watoto Wetu Wenye Umri wa Miaka 10 Kushuka Chini 1. Kwa nini unatumia fedha nyingi na nguvu kubwa kumpeleka mtoto shule za gharama, ambapo mwisho wa siku hakuna mafanikio ya maana? 2. Kwa nini ujitese na kukopa ili kulipa ada ambazo hatimaye mtoto anaweza...
  9. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    Change your way man kuwala wakiwa sober itakuja kukuletea shida kisheria ukija kukutana na dem kichaa
  10. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    Mbona wenzio wanahongwa na hao madem ili wawaoe
  11. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    We mbena wa wapi unategemea hela za wanaume
  12. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    A win is a win
  13. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    Wananunua upendo ambao wenzao tunaseleleka nao
  14. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    Ayaaa Google my name
Back
Top Bottom