Recent content by Dumelanyani

  1. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Wawekezaji wakichelewa kufanya mazungumzo na Serikali nitafunga migodi yote nchini

    Haki ya mtu huwa haiombwi bali huchukulia, kundi dogo lenye tamaa lilikuwa likinufaika kwa mali za nchi mungu kamleta mtetezi wanchi leo baadhi yawatu wanashangilia Tanzania kuendelea kuibiwa mheshimiwa fanya maamuzi magumu nchiyetu isongembele tupo nyumayako baba hawa wanaofurahia tuendelee...
  2. D

    JamiiForums Tanzania HABARI WANA JAMII NIJUZENI DAWA YA NDEVU ZISIOTE HARAKA

    Unashindwa hata na dume la mbuzi linandevu wew tunakutilia mashaka yawezekana sioriziki
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nna Rupia 1, 1910 J, ya kijermani ya Afrika Mashariki.

    Hana rupia tapeli huyo kama anayo aioneshe asije akadownload picha
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Askari Polisi ni matokeo ya Jeshi la Polisi kupuuzia mambo

    Ninacho jiuliza bila kupata mahibu nikwamba hizo silaha wanazo kusanya wanajiandaa kufanya nini?
  5. D

    JamiiForums Tanzania Dr. Dalaly Kafumu: Kusema ukweli uamuzi wa Rais katika suala la mchanga utaligharimu taifa baadae

    Wameiba vyakutosha zama nchi ilipokuwa haina wasimamizi makini ila sasa basi mheshimiwa kwahili tupo pamoja kama mbay na iwe mbway
  6. D

    JamiiForums Tanzania Lipumba: Inakuaje Syria wanapigana vita lakini wanatuzidi kwa furaha?

    Mrija ukikwatwa mwenyemrija hutukana sana na kuongea maneno ya shombo hili halihitaji kusikia kwani macho yetu yanaona mabadiliko makubwa tufanye kazi furaha haiji kwa kusema tu lazima tujifunge mkanda
  7. D

    JamiiForums Tanzania Exclusive: Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite (Makonda)

    Huyu Gwajima ni mwongo hakuna wizara inayotowaga cheti cha zero labda kama yeye anawizara yake mfukoni
  8. D

    JamiiForums Tanzania Nataka nikajitambulishe kwao ila anasema hakuna haja

    Hayo ni matatizo yaliosababishwa na wew mwenyewe huyo umemkumba tu twende tukaishi wote hukufuata utaratibu subiri afe humo ndani ndo utakapo isoma namba vizuri maana huyo ni binadam muda wowo anaweza rejesha amana ya mungu ambayo ni nafsi utampeleka wapi , Halafu wewe ni mwanaume lakini...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Mwalimu Frank Msigwa mtesaji mkuu wa mwanafunzi

    Ualimu in wito hauhitaji hasira katafute kazi nyingine hufai kuwa mwalim maana unahasira sana halafu unapiga sehemu hatari za kuua kabisa wewe in mtu wa kuogopwa sana
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mjue Mtoboaji macho, Salum Njwete (Scorpion) na watu wake

    Mashoart gani inayomruhusu kuwa mshenzi kiyasi hiki?
Back
Top Bottom