1. Mkuu kwenye electronics huwezi kuwa mwalimu wangu mkuu najua alafu najua tena.
Huwezi sema kila Sony au Samsung ni bora lets speak of TV. Kuna matoleo ya TCL na Hisense ni bora kuliko matoleo ya hizo Samsung na lg.
Kingine sio kila kitu mchina anakopi, ana brand zake bora na nzuri. Ndioaana...
Kama kukop na ku paste sio akili jaribu wewe bro.
Naomba ukopi tu hata kiberiti au toothpick
Bro hao jamaa ni akili sana bila mchina leo maisha ya Waafrika yangekuwa mabovu sana. Imagine ungevaa mtumba nguo 100% mpk leo
Imagine leo unacheki flat screen kwa sh. Laki 2 tu. Smartphone hadi kwa...
Jamani tuache huu mchezo wa mtu akisema kapiga kiasi kadhaa mnajaa inbox kuomba 10, 20 nk
Hii ni kazi kama kazi zingine unakuta mtu ume risk mil 1 nzima upate laki 3
Mtu anaomba kama vile hazina kazi. Kwakweli sio poa. Hii kazi tuna risk sana. Mtu akila sio kwamba ana faida ana vipande...
Nilistuka nikatoa hio option maana nami niliweka, nikawapa wote watoe goal 2 nime stake mechi 1 tu. Lkn huyo home mwenyewe ana ontarget 1 tu dakk 45 za kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.