Akili hana anajifanya kapita TISS anasahau kuwa Tiss pia moja ya oparation zao ni kuwa feed wanaharakati taarifa za uongo kulingana na wanachotaka ku achieve hata mange wamekuwa wakim feed habari za kuposha ndio zimefanya sasa hata baadhi ya wafuasi hawamuamini
Kwenye intelligence kuna vitu...
Hapa tunajadili andiko la Lissu na Mahudhui yake au tunajali kuuawa kwa Baadhi ya vibaka tarehe 29 oktoba na kupelekea kuaawa kwa baadhi ya Raia wema katika kusaka panyaroad? Sema kama mada imebadilika basi fungua uzi tujadili oparation safisha nchi
Lissu kasema kama nani? Nahisi keshapitiwa gerezani kwasasa anawaza kikekike maana sio kuzuri kule. Hizo sababu hazijasemwa na Gerson msigwa wala serikali. Sababu ziliahinishwa na Marekani wenyewe na wamesema wazi sababu ni overstay
Sijaelewa andiko linalenga nini tukipate hasa? Maana ya Ban iliotolewa na Marekani au Uongozi mbaya wa nchi za mali, Bukinafaso na Sudan au Migodi ya Tanzania na unufaishaje wake kwa wananchi au kukodishwa kwa badandari? Au yeye kukaa gerezani siku 200+?
Hivi huyu lissu anajua seneti inafanya...
Kwani Mwanajeshi wa marekani unamchukuliaje? Marekani ina hadi mashoga jeshini kazi yao ni kuliwa na wanajeshi wengine . Wapo kazi yao ni kuoika tu wali watu wale na wanakaa hata mwaka mmoja wanaacha mfumo wa jeshi wa marekani sio kama akili yako inavokuaminisha
Marekani na Trump wa Ny@ko?🤣🤣 mkiandamana 🔫🔫 ipo palepale Saizi una uwa kibaka huaji ushaidi unabeba unaenda kunenepesha Mambo Motoni kwisha kabisa hatuwezi ipoteza Tanzania kwa vibaka wachache
😁Umemaliza kutusi hao bado yapo mengine uongezeee? Basi nakuacha na kuacha na hili “Silaha ya mjinga daima ni matusi”
umemaliza au kuna tusi jipya hujatukana? Basi litafute uje ujazilizie😁
Mwanafalsafa mmoja alisema “Mjinga hujilinda kwa Matusi” sasa nja haja gani ya kukomaa na Wajinga mie😁
Kasome tena kasome upya hujasoma na unasimuliwa wameuwa sanaaaaa sanaa sio kidogo ni sanaa Tz juzi ni kama kutuliza vibaka tu. Anyway tuache mbali fatilia tu hapo syria walipogoma maridhiano miaka 10 al asady ana chinja Raia na ndugu zake
Kwahiyo tuiangushe Tanzania kwasababu ya kilichokwisha tokea? Hakuna vita ina malizwa kwa vita. Haiuna Taifa halijawahi poteza mamilioni ya watu katika harakati za kuwa na jamii huru lakini mwisho wa siku ni maongezi yaliwaleta pamoja sio nani mwamba kati yetu.
Kasome historia ya Marekani...
Hawa “Watoto” wanaoisumbua CCM na Serikali yake, CCM waliwaandaa wenyewe. Kama vile Mkoloni alivoandaa waafrika kwa nafasi duni za ukarani, mesenja nk akiamini wakiwa na elimu kubwa watamwangusha akawapa Elimu duni ya Masingi tu lakini ajabu haohao bado wakatumika kumtoa, “mkoloni hakuamini.”...
Reconciliation is a human and humane value. “ maridhiano ni tunu ya Ubinadamu na Utu”.
Kukataa Maridhiano kwa kiburi na Jeuri ni kukataa kuitazama Tanzania bora ya Wajukuu na wajukuu wa watoto wetu.
Vijana wadogo uongozwa na ushindani “sikubali kushindwa” ila watu wazima wenye uoni mpana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.