Magufuli ni MSEMA HOVYO, MLOPOKQJI, MPENDA SIFA, MWENYE MAJIVUNO NA KIBULI, ASIYEFIKIRI KABLA YA KUTENDA, MUUZA NYUMBA ZA SERIKALI, n.k. Aache kuuota urais. Kwa tabia yake ya kuwadharau wananchi, hakuna rais mwingine tena ajaye anayeweza kumpatia hata uenyekiti wa kijiji. Kama wana Chato...