Mimi siilaum serikali ila naona wafanyakazi sisi wenyewe ndio wapuuzi,haiwezekan kwa haya matendo tunayofanyiwa tukaendelea kuwaacha hawa watu madarakani.TUNAWEZA KABISA KUWAFANYA WANANCHI WAKAWACHUKIA.tuanze harakati kimya kimya.
Mimi nilijua una details,kumbe ulisikia/kusoma sehem.mim ni mwenyeji wa maeneo hayo najua nachokiongea.kanunue hata hekar 1 kwa m1.utarudi hapa kutupa mrejesho.hakuna eneo hata 1 la kibaha mji lisilokua la mtu.ila watu wenye kutaka mteremko wanapigwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.