Habari za asubuhi wanajf
Kwa muda kama miezi mitatu sasa nimekuwa katika mahusiano na mwanamke fulani
Huyo mwanamke huwa anasema ananipenda ila tukiwa faragha katika harakati za kuvunja amri ya sita anabadilika ghafla na kudai hana hisia na mimi(hapati hamu ya kusex)
Wadau naombeni maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.