Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,586
- 112,629
Acha tu mi ntakuomba unileEvelyn nitumie mbinu gani kukuomba mzigo?
Acha tu mi ntakuomba unileEvelyn nitumie mbinu gani kukuomba mzigo?
Acha tu mi ntakuomba unile
Habari za asubuhi wanajf
Kwa muda kama miezi mitatu sasa nimekuwa katika mahusiano na mwanamke fulani
Huyo mwanamke huwa anasema ananipenda ila tukiwa faragha katika harakati za kuvunja amri ya sita anabadilika ghafla na kudai hana hisia na mimi(hapati hamu ya kusex)
Wadau naombeni maoni yenu huyu mwanamke ana tatizo gani?na kiukweli nampenda sana
Mhhhh awezi akamind maana nampenda sanaaNa ww mwambie huna hamu ya kuwa karibu nae
AsanteHakuna kitu kizur kam kuwa na Subra
Mvumilie tu
Mhh.....kweli hili jina siyo kabisaSio ww kweli dume kaptura
AsanteUkimuoa atakuwa na hamu ila sahv amri ya saba msiivunje..
Jirani kulikoni umeniita hapa mamaDaby
Haha si umelipenda mwenywMhh.....kweli hili jina siyo kabisa
Nilikua nakusalimia tuJirani kulikoni umeniita hapa mama
TehNilikua nakusalimia tu