Recent content by dullydon

  1. D

    My playlist

    Chonde chonde wazee msituchokoze M dj wa zamani ohooo, wananiita Mzee wa Way back Master. Sasa me nakudondosheeni ngoma 5 tu za watu wabaya, hapo hakuna demu 1. Donel Jones _ this luv 2. Joe Thomas _ don wanna b a player 3.kci & Jojo_ one last time 4.Tyrese _ how u gonna act like that 5.jagged...
  2. D

    NI ZIPI TARATIBU ZA KUFANYA KABLA YA KUTENGENEZA MUSIC VIDEO COVER?

    Habarini ndugu zangu, napenda kujua hasa ni kipi cha kufanya au ni taratibu zipi ama njia salama za kupitia kabla ya kufanya video cover ya nyimbo ya msanii yeyote yule hapa Tanzania? Mwenye kuyajua haya naomba ayatanabaishe hapa . Ahsanteni
  3. D

    REGGAE MUSIC Special Thread

    Reggae huwa inanipa punguzo la stress za life. Huwa inakuja peace nikiwa naskiza hizi ngoma zenye ujumbe wa uhalisia. Na ndio maana ukiskiza Reggae kama itakuwa nyimbo ya mapenzi basi hawa jamaa walikuwa na maneno ya kihisia kabisa kabisa. Yaani unaona kabisa love iko karibu ya macho yako...
  4. D

    Tujikumbushe makundi ya wasanii hapa TZ waliobamba na wimbo mmoja kisha wakapotea

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] pamoja mzee baba
  5. D

    Tujikumbushe makundi ya wasanii hapa TZ waliobamba na wimbo mmoja kisha wakapotea

    Nakukubali. Naijua hiyo nyimbo nadhani me ndio niliitaja hapa. Kazi yako hii naikubali mpaka kesho
  6. D

    Tujikumbushe Nyimbo kali za Bongo Fleva Zilizotamba zamani

    Mbele kwa mbele_dj yusuf Baab kubwa_ planet 2000
  7. D

    Tujikumbushe Nyimbo kali za Bongo Fleva Zilizotamba zamani

    1. Tunanya kazi- juma nature ft k south 2. Fagio la chuma 3. Naskia utamu_ the bugz
  8. D

    PS 4 Slim brand new

    Ps 4 slim Full box Pad 1 Rangi ya gold Gb500 950,000
  9. D

    Naomba ushauri kuhusu fani yangu ya upigaji picha na uzalishaji video

    Nilidokezwa niandae vipindi vya video kama producer. Actually vifaa vya production ninavyo na nina camera man na editor. Maisha yamekuwa magumu nafanya video za maharusi nk lakini it take so long kupata dili jingine licha ya matangazo ninayofanya kwa mitandao ya kijamii. Naomba mnishauri...
  10. D

    Mchiriku: Hisani Musical Club (Gari Kubwa)

    Mwenye kuhitaji nyimbo za hisani aweke namba yake nimrushie whatsapp
  11. D

    Nahitaji kujua aloimba hii singeli na jina la nyimbo kwa ujumla

    Sawa sawa huo wa kilwa unaitwa nachekacheka kilwa leo. Niliupata mzee respect!
Back
Top Bottom