Mnhhhhh mkuu mm nilikuwa naishi Vngngti Sheli na shughuli zangu n hukohuko vngngt ila ikifika muda wa kula mchana lazima nipande daladala nikale pale bugurun stend ya muhimbil na mbez.nilikuwa nafurahia ugali dona samaki.nilijaribu kujizuia kutokwenda ila nilishindwa kabisa.japo sikuwa naona...
Hiv unajua ukisha kuwa mteule wa Magufuli akili za kawaida zinakutoka? Zinaingia akili za chuki uwongo unafiki bila kusahau uwoga wa kupoteza ugali.ndo maana hata unaona wakuu wa wilaya, mikoa, wakurugenz kwa kifupi wateule wote wamekosa mwelekeo wa uongozi bora.wamebaki na mapambio ya kumsifu...
Nilipanda na baunsa mmoja hiv kwa mara ya kwanza ndo anapanda alipoona watu wenye miili midogo wanabeba mizigo akadharau sana cku ya pili tulimrudisha hoi kakata pumz hajafika hata shira one
Hzo njia za Marangu na Rongai ni rahisi mno ni za viongoz na wamama.kidume pita machame, Lemosho, londrosi, au Umbwe, na kwa mbeba mizigo (mgumu)anatambaa na kg25 begani.
Hata kama mnakaa dar itakuwa asili yako n hapo au uliingia dar miaka mingi iliyopita.tatizo huko joto linayeyusha damu inakuwa nyepesi na kulainisha ubongo.hivyo huathiri uwezo wa kufikir kama kidume.ndo maana wanaume weng wa dar wanavaa suruali chin ya makalio na visendo vidogo vya kike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.