Ushauri wako mkuu ...me nina vitz old model nimetumia kwa miaka 3 sasa na nimeimudu bila shida..sasa nilijiwekea akiba ya pesa ..Nimejikuta natamani kumiliki Toyota Rumion ...Naomba kufahamu je kutoka kweny Vitz old model mpaka Rumion.. kimatumizi na kuhudumia gari ...Naweza kufit? Au nimesogea...
Mkuu naona ushauri ...gari niliyoanza nayo maisha ni vitz old model nimetumia kama miaka 3 ....nimepata mpunga mwingine ..nimeingiwa na hamu ya kubadilisha gari ...naomba ushauri ni ipi
Brother mimi pia nimeingia kwenye ulimwengu wa ndinga ...nimepata vitz old model ,,ndo nimeanza nayo rasmi maisha ya kutembea kwa kukaa ...naomba uzoefu wako na Nasaha zako kwenye Kuichambua gari hii ...Ahsante nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.