Hizi pesa zinawauma eeh... jalini utu wa mtu kwanza mambo ya pesa baadae... omba nawe ukutwe na tukio kama hili ili unufaike na jamaa zako kama unadhani ni jambo jema
Waondoke ili iweje? Na una hakika wanaishi Nairobi kwa gharama za chama au michango? Mnapenda kushabikia vitu ambavyo hamna hata logic ili mradi ku support ujinga tu..
Sioni mantiki ya swali lako mkuu? Kukaa jirani na mgonjwa kwanza kunampa faraja na kumfanya apate nafuu kwa haraka.. isitoshe sababu za kiusalama ukizingatia na tukio lenyewe, na pia gharama sio kitu kwenye uhai wa mtu...waza mbali zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.