Watanzania wengi hawaelew ugumu wa maisha unaowatafuna unasababishwa na sera mbovu , na miakataba mibovu ambayo in deplet rasilimali zetu kwa kunufaisha mataifa ambayo yamejaliwa akili bila rasilimali, kama unatimamu unaweza fikiria dhahabu inayochimbwa nchini kwako inamnufaisha zaid mzungu...
Hata Dunia izunguke mpka ifyatuke Raisi kama Magu hawez tokea Tena
, Wakili anaongea fact tupu ucdhan hakuna anae elewa wote wanaelewa vyema lakn shida hofu waaliojengewa wananchi wanaona kama vile hawan haki ya kuuliza kuhusu rasilimali zao, every Tanganyikan is fully responsible to inquire...
Serikal inatakiwa iangalie uzalishaji, ubora na viwango kwanza kwa hizo bidhaa zinazoongezewatozo za kodi ili kutoa nafas kwa viwanda vya ndani kuzalisha tofaut na hapo kila kila bidhaa iitageuka sukar na madhara yake ni kwetu wananchi masikn .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.