Una uhakika kama yeye ndo Ali kuwa Ana nunua watu ?
Ila so kesi ukiwa raisi kila kita kacho fanyika ndani ya country wata sema ni wewe ila ukweli si zani kama ni magufuli ndo Ali kuwa na fanya ivo na kama ni kweli magufuli ndo Ali kuwa na fanya ivo na MPa big up usipo eshimu sheria ina bidi...
Dah kweli nime amini nabii akubaliki kwao
Wote wanao mpinga jpm jaribuni kuhuliza inch zingine za afrika muone jinsi gani jpm alivyo kuwa na kubalika and I think miaka ya mbeleni TZ ingelikuwa super power in Africa
Maana jamaa alikubakika saana ok any way si shangai maana mtu awezi pendwa na...
Vipi ndugu zangu naitaji msaada wa ushauri kutoka kwenu.
Mimi Ninafanya kazi ambayo inanilipa pesa nzuri tu dollar za Canada 1900 sawa sawa na milioni tatu na zaidi za Kitanzania.
Lakini ndugu zangu mimi nimesumbuliwa na shetani wa kusaidia watu kitu ambacho kinaniingiza katika hasara kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.