Recent content by Duane

  1. D

    Tofauti ya education with & in au and science ni ipi?

    Ina tegemeana na curriculum ya chuo husika... kuna chuo fulani walikuwa wanasoma somo moja wakaambiwa waongeze somo jingine
  2. D

    Msaada: Jinsi ya Ku-dilute acetic acid/citric acid

    Sasa hapo kwenye 5% ndo sijapaelewa Vinegar (acetic acid) ya dukani kwani ni 100%?? ile tayar ipo diluted so inapaswa awe makini aangalie percentage kabla haja dilute maana atapata kitu tofaut na alichokusudia. Kwamfano kama ile ya dukani ni 5% afu akachukua 5mls akazidilute tena maana yake...
  3. D

    Tofauti ya education with & in au and science ni ipi?

    Utofauti ninaofahamu mimi ni kuwa... Mtu anayesoma BSc with Education maana yake anasoma sayansi pamoja na elimu hivyo anakuwa mwanasayansi lakini anaongezewa kitu kidogo cha kufanyia kazi, yaani anaongezea kidogo uwezo wa kuwa mwalimu. Hivyo anaweza kuwa Mwanasayansi au akawa mwalimu wa sayansi...
  4. D

    Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

    Green house effect ni matokeo ambayo hulipah joto dunia, hii husababishwa na gesi joto na gesi mkaa hususani , methane, kabonidayoksaidi, mvuke wa maji (water apor) na oksaidi za naitrojeni ambazo hutokea kiasili au kwa matendo ya binadamu lakini pia CFCs... Kama gesi mkaa zitazidi kuwa nyinyi...
  5. D

    Unatamani kumiliki gari au magari?!

    Njoo inbox.
  6. D

    Unatamani kumiliki gari au magari?!

    Ulipata hiyo gari au bado unatafuta???
  7. D

    Degree ya Pharmacy vs degree ya Doctor wa mifugo

    Lakini pia huwezi kushauriwa vizuri kama hujaongea wewe unategemea nini baada ya kusoma (malengo yako ni yapi) kwa jinsi swali lako linavyouliza kila mtu atakujibu jinsi anavyojisikia au kwa jinsi anavyoona au kwa jinsi anavyoipenda kada husika... Ni vyema ukasema unategemea nini au unapenda...
Back
Top Bottom