Recent content by Duadovan mp

  1. D

    Nisaidieni shule nzuri ya PCB Mwanza na Arusha

    Kisimiri hakuna pcb na edmund sio nzriii
  2. D

    University of Dar es Salaam (UDSM) special Thread

    Mi naomba kuuliza kuhusu wanafunzi wanaojiandaa kusoma clinixal medicine au clinical offer ivi tuwasaidie kuwafahimisha zaidi juu ya hii kozi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    Mwaka huu ndio wanafunzi wengi wa vyuo vikuu watakosea kujaza form za mkopo kuliko miaka yote

    Na vip kumekuwa na maswali mengi kwamba je mwaka huu serekali itatoa mikopo kwa wanaosoma diploma au itakuwaje hapoo ebu wasaidieni wajue kama wanafanya aplication au vp embu tuwasaidie asee Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Wanaokunywa pombe wana ushirikiano mzuri kuliko Walokole

    Usifananishe ulokole na mambo ya kijinga sawq Sent using Jamii Forums mobile app
  5. D

    Rais Magufuli apokea zawadi ya sanamu ya Bikira Maria Ikulu Dar

    Tunaletewa tena hadi sanamu ikulu jamani mi nilijua zinakaa tu kanisani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    Ukweli kuhusu Wakatoliki kutokuabudu sanamu zilizopo makanisani

    Kama hufanyi yanayoshahilu kqtka dhehebu lako basi wewe ni msaliti ni bora ujitoe nq utqfute mahq
  7. D

    JAMANI NAOMBA MSAADA

    Kwa yote hayo uloyofanya kwake hana shukrani na upende akupendae na yule asiyekupenda achana nae usilazimishe upendo we tafuta anayekupenda huo ndo ushauri wangu kwako japo najua upendo unaumiza kwa unayempenda lakini wakati mwingine inabidi uchukue maamuzi ya kiume kwa hatua hiyo uliyofikia
  8. D

    Serikali ya Uturuki yazima mitandao yote ya kijamii baada ya ISIS kuwachoma moto askari wao

    Hiyo video wengine hatujaona waliona waturushie au tupewe link tuangalie
Back
Top Bottom