Naona tunachanganya kingereza na kisw kati ya Tz na Kenya mji mkubwa ni Dar inafuata Nairobi ila mji mzuri ni Nairobi ..Kwa afrika mashariki mji mkubwa ni Kinshasa inafuata dar ok sijui nyie mnabishana ila Mimi najua hivyo
Tatizo la TZ ni ujinga mwigi Sana na ujuaji juaji wa kijinga .mpaka tunazidiwa na Rwanda. Sasa madini sijui yanasaidia nini? Labda tuongezewe na ya Congo
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.