We mwanadamu wewe! Mungu yupo na Yesu ndiye njia.
Unauliza kwa habari ya kweli?
Twasoma:
Yohana 14:6
16 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Pia twasoma:
Yohana 4:24
24 Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika...