kaka BATTERY LOW huyo jamaa n fundi mbaya.yaan m namkubali sana.alpokuwa 4M 5 alkuwa anatukatia mapnd sisi 4m 6.hebu imagin????.alpangwa special school ila akaamua kurud azania ili kurudsha heshma ya shule.
dah!!!hzo post znaweza zkawatoa madogo damu.huku ktaa habar ya mtaa ndo hyo coz kuna raia weng wamemalza na wana three.so wana pressure mbaya coz wanasema kuna uwezekano wa kuachwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.