Wangeanza na tatizo la Wizi wa mizigo ya watu na kuhakikisha Usalama wa Vifurushi na huduma bora.
"Mabadiliko...Lowassa.
Lowassa ....Mabadiliko" - Mwenyekiti wa Chadema Taifa.
Kumkubali Mzee Lowassa kurudi CCM hiyo ndio picha kamili ya Demokrasia iliyotukuka ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Chadema imeathirika vibaya sana kuondoka kwa EL...muda utaongea katika hili.
Kaoshe Qumer Wewe. Eti huna mzuka na mimi! Bwahahahaha. Pole sana ...tatizo unanu.ka Qumer halafu hauna chura, basi mihasira imekujaa kama guru.we pori. Pole
Mkuu,
Nyumbani kwa Mh. Hamis K ni Mikocheni katika nyumba za Mawaziri na sio Makumbusho.
Pumzika kwa Amani Zulfikar. Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba. Bila kuwasahau wana Nzega.
Mkuu,
Kuna tofauti kubwa kati ya kumchalenji mtu na kumdhihaki/kejeli. Hawa vijana wengi siku hizi hawana weledi.
Wanajazwa upepo na Wanasiasa, mwisho wa siku yanapowakuta wanabakia peke yao na kusumbua wake na familia zao. Inasikitisha sana vijana wanapoweka maisha yao rehani kwa Wanasiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.