Waacheni wafate bahati iyo.mimi nilisoma uko medicine nkamalza nina ajira now..mwaka huo huo kuna my frnd nilienda nae ye alikua compta eng nae ana ajira mwaka huo watz tulikua 8 na wote wana ajira kfup cjawah kuskia mtu kasoma uko akakosa ajira hata kama kasoma dgri ya maharage atapata...
cjakuelewa ajira ikoje kvp uliza vizuri nikujibu yaan unataka tofauti kati ya bsc in nursing education na bsc in nursing katika utendaj ajirani au katika ushndan wa soko la ajira au nn ulza vzur kaka
hawa wanasoma technolojia za human cell na tissu kwa mapana sana.hawa ndo wataalam wa kimaabara wa mambo yote ya cell na matatzo yake kama kansa wanafanya kaz kwa karb sana za kimaabara na daktar bngwa wa kansa oncologist ni watu muhm sana na ajira ni nyng sana. Wana uwanja mpana sana hata katka...
hawa wanasoma technolojia za human cell na tissu kwa mapana sana.hawa ndo wataalam wa kimaabara wa mambo yote ya cell na matatzo yake kama kansa wanafanya kaz kwa karb sana za kimaabara na daktar bngwa wa kansa oncologist ni watu muhm sana na ajira ni nyng sana. Wana uwanja mpana sana hata katka...
kaka uyo anaweza kwenda kusoma Bachelor za education kwa kuptia nacte.ila ili uingie afya lazma uwe na dp ya afya au form 6 fresher so namshaur aanze ktafuta dpoloma ya afya au aseat for form six exam aweke chn i iyo dip yake ya ualimu kama kwel anataka afya. Nmesoma na mtu medcine yeye alikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.