Wamjulishe kwa njia gani? Nadhani hata huduma mpya wanapaongeza wanamjulisha kwa njia ya message (ambayo bado itafika kwenye simu hiyo ambayo anayo msaidizi wake) Hoja ya msaidizi amewezaje kukopa milioni 2 inakosa mashiko kisheria maana hata hapo kazini umempa pesa zaidi ya hizo na anasimamia...
Hao watu wa Europe unaowasema wanakuja hapa wanatamani kuishi wengine wameolewa huku kijijini kwetu wanafurahia maisha. Wengine wameona fursa nyingi ambazo zinawafanya wabadili hadi uraia.
Kabla ya kukopa au kujiunga na huduma fulani huwa kuna vitu hivi tunachukulia poa.
Bonyeza moja kubali vigezo na Masharti <url> au link ya vigezo na masharti unapewa[hatusomagi] ✅️
Weka namba yako ya siri kuthibitisha (Hapa umeweka saini ya kidigitali kuwa ni wewe unakopa, kumbuka namba ya siri...
Sasa hivi ukipita barabarani kuanzia mwanza mpaka Mtwara ni mabango ya CCM au Mama Samia yakielezea amefanya moja au mbili na pongezi kibao. Ziwe za kweli au uwongo zote zimepangiliwa njia nzima mithili ya maua kwenye misiba ya kishua.
Swali langu ni je, tunapata mapato yoyote kwenye mabango...
Wengi mtanishangaa lakini nimeona maisha ni watu na watu ni sisi.
Nipo mwaka wa kwanza nachukua degree ya Information Technology kama kuna watu wa group la whatsapp au fb waniadd wadau napenda kupata ujuzi na mtandao mzuri wa marafiki kwa ajili ya future
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.