Siku ya jana nimepita sehemu fulani nikakuta watu wanajadili kuhusu VAZI la TAIFA hasa kutokana na uelewa wangu mdogo kuhusu mada husika nikashindwa kuchangia hoja nikaondoka zangu lakini nikabaki na maswali kadhaa-,
1.Vazi la TAIFA ni nini?
2.Umuhimu wa kuwa na VAZI la TAIFA kama nchi?
3.Je adi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.