Is hukumu akilinya trump kwa haraka, viwanda vitarudi USA, ila baada ya Russia kuanguka itafuta vita na China. Sasa hivi ni kumtibua ili dunia iwe block mbili, na kuipa Europe shock treatment kwanza wachague upande, kisha vita ya china.
Habari,ukisoma sura ya 4 -5 ya kitabu cha mwanzo,utagundua kulikuwa na watu wengine kutokana na mjadala kati ya kaini na Mungu,kuhuaiana na adhabu ya kaini. Ukipata kijitabu kinaitwa panorama ya Biblia itakupa mwangaza wa wingi wa miaka katika kipindi huaika. Naaamini nikupa pakuanzia.asamte
Nikweli kwa sababu mimi na wewe hatuko uwanja wa vita wala humo kwenye list ya war generals,kwa hiyo tuna uhuru wa mitazamo, na itapishana sana,tuvumiliane!
I
Ukitazama hii tunayo iita vita,lazima tuwe na mitazamo miwili,
1) Kwa urusi;
haikuichukulia kama vita kamili mpaka kama wiki 2 zilizopita, ndio wamei tafsiri kama vita. Urusi inahitaji eneo zaidi la kilimo na kupunguza/kutawala urahisi was ukrain kutumia bahari. Hii ni kwa sababu urusi...
ndugu beka , Unisamehe maana nimeandikia Kwenye poast yako mpaka naandika Hii post Ndio ilikuwa ya mwisho,
watu wengi wanashindwa kuelewa utendaji wa huduma tano alizoacha kristo, hawa ikiwa pamoja Na viongozi wa makundi ya kiimani katika wakristo japokuwa wote wanamhubiri kristo kwa dhamira...
if the average weight of heifer calves at weaning is 200kg, they need to gain 100kg equating to a growth rate of 0.48kg/day. allowing for a 10kg setback at weaning brings the required growth rate up to 0.5kg/day.
...
Meeting minimum growth rates for heifers.
Liveweight (kg)
Target growth...
Nas Jr,
hatuwezi kufikia muafaka kwakutaka record za waandishi wenye mitazamo tofauti ya kuhesabu wana wa israeli ilingane, hakuna mtu yeyote anaye weza kulinganisha hesabu hizo kwa sababu hutaki kuelewa tofauti ya scribes Na adminitrators wakati huo wakiandika vitabu hivyo,kwahiyo kama lengo...
Nas Jr,
Hebu nisaidie hapa Kwenye hizi assumption Kama ulivyo ziita, unasamaki wa wili Na mikate mitatu umelisha watu 5000 unabaki Na kapu 12 za mabaki ya mikate, Numbers Dont lie!
Drake,
nirudi Kwenye Hiyo hesabu iliuelewe ninachokujibu, waandishi hao Soma kila mmoja alipohesabu utagundua kunawaliokuwa waandishi scribes ( wataandika basing on pure breed jews ) administrators wataandika wakijumlisha Na wasamaria ambao kisasili si pure breed jews Na hawakuwa wakichangamana...
kitu Kama hiki kipo Kwenye familia ya Yakobo iliyoenda misri, ni kwa jinsi wanavyo hesabu, ili uelewe angalia walivyo hesabu jangwani ulisikia tena familia ya musa baada ya jethro kumuabudu Mungu wa Mussa? kuna vitu lazima ujifunze unaposoma biblia hasa uandishi wake, Agano la kale ni kumbukumbu...
Umeongelea mipasho,umamntiki wa biblia na Mungu kutuia kitabu,ukiweka maelezo zaidi katika kila hoja ilinasisi wasomaji wa hoja zako tuone unachokiona wewe inakuwa rahisikukuelewa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.