Recent content by Dr_Mponzi

  1. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Hatari hii, vipele kisogoni

    napatikana morocco airtel
  2. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Hatari hii, vipele kisogoni

    Nipo Morocco airtel hapa karibu na daraja
  3. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Hatari hii, vipele kisogoni

    Dr mponzi kama unachangamoto ya vipele kisogoni tafadhari wasiliana nami kwenye namba hii 0655928180
  4. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania KAMA UNATATIZO LA VIPELE KISOGONI TAFADHA WASILIANA

    Samahani ndugu nimeweka namba ya simu hapo ili tuweze kuwasiliana kama ukiona nimechelewa kusoma message na pole sana kwakifupi wambie wawahi dawa maana huo ugojwa unakela sana
  5. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania KAMA UNATATIZO LA VIPELE KISOGONI TAFADHA WASILIANA

    Acne Keloidalis Nuchae ni nini? Licha ya jina, acne keloidalis nuchae sio aina ya chunusi. Ni aina ya folliculitis, na dalili ambazo zinafanana na chunusi. Kwa kawaida huwa kama upele karibu na sehemu ya nywele upande wa nyuma wa shingo. Mwishowe haya huwa makovu na nywele zinzozunguka eneo...
  6. Dr_Mponzi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Wanawake mnaweza Kweli kusahau Wapenzi wenu wa Zamani?

    Mmmh napita hapa nimekuona hahisi kama ni pepo hivi yaani ngoja nichungilie vizuri utamu wako wa kipindi kileeeee
  7. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Karibu @dmk barbershop

    Karibu tukuhudumie
  8. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    Umesema kweli mrs van.Wengine hawajui kama wanaishi na baba zao wa kambo hivyo mi nampa bigup diamond kuwa analea damu yake halali na sio kama huyu alieposti picha kumdhihaki diamind wakati yeye babake hamjui mpaka leo
  9. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kuupdate rooted device

    Install app inaitwa babel flonts ndio inaapp za Samsung
  10. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    Hamna lolote huyo ni mtoto wa platnum mtoto mdogo kuwa na mshavu hilo sio tatizo si anamabadiliko alafu hizo picha umechukua za karibu na pili we mtoa post jiulize unavyochochea ujinga we umefanana na babako kila kitu au na huenda we ndo mtoto wakusingizia angalia usije umbuka siku moja
  11. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

    Baadae mtoto anabadilika hawezi kuwa na shavu hivyo
  12. Dr_Mponzi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa ku-update hiki kifaa

    Tumia USB cable connect na laptop kuna vision yake itakuja ambayo ikidownload na kustall itakuuliza unafomat na kuupudate ? Ukisema yes kinafomat na kuapdat pia utaingiza ID na utadownload app unayotaka
Back
Top Bottom