Recent content by Dr Sai

  1. Dr Sai

    Gari la kukodisha linahitajika

    Umepata mkuu?.
  2. Dr Sai

    SOMO: LUGHA MAHABATI...

    Asante kwa kushukuru! Nakutakia kila la kheri SweetieLee, M/Mungu akutangulie katika hilo. You're welcome.
  3. Dr Sai

    SOMO: LUGHA MAHABATI...

    Ooh very sorry Mr. Unajua sikufahamu kabisa, kwamba naongea na nani. Siunajua tena, I'd hizi ni ngumu sana kuzinote! Naomba uniwie radhi sana chief.
  4. Dr Sai

    SOMO: LUGHA MAHABATI...

    Hapana, Tatizo kubwa ni kukosekana kwa ufahamu, juu ya mambo ya msingi katika maisha ya mwanadamu. And bad enough muda huo huo, utandawazi na kampeni za kijinsia, zinazidi kushamiri na kufunika macho ya watu..... All in all tuendelee tu kuelimishane taratibu, huku tukizidi kumtanguliza Muumba...
  5. Dr Sai

    SOMO: LUGHA MAHABATI...

    Sawa, havina formula. Kila la kheri Dada...
  6. Dr Sai

    SOMO: LUGHA MAHABATI...

    Hi guys, Hope weekend ipo poowah kabisa...!! Ety jamani mnajua kuwa, "Mahusiano yana lugha?" Basi kama ulikuwa hulijui hilo. Leo Dr sai anakwambia kwamba "Ndio, mahusiano yana lugha". Kama tunavyoelewa, mahusiano yamegawanyika kwenye matawi kadha wa kadha. Yapo mahusiano ya urafiki, mapenzi...
  7. Dr Sai

    Wakuu, nimekuja rasmi sasa!

    You're welcome chief.
  8. Dr Sai

    Je, unahisi kwanini unaendelea kuteseka juu ya Ex wako?

    Pole sana mkuu. Ila maisha ni lazima yaendelee, nyanyuka jikung'ute.....chapa mwendo! All the best.
  9. Dr Sai

    Je, unahisi kwanini unaendelea kuteseka juu ya Ex wako?

    Hongera. Nakutakia kila la kheri.
Back
Top Bottom