Hivi kuna uchaguzi wa kidemokrasia wa nafasi ya m/kiti wa Taifa ndani ya CCM? Miaka karibu 60 ya uhai wa CCM wenyeviti ni 4 wakati CHADEMA katika miaka takribani 20 wenyeviti ni 3 na kati yao yupo marehemu Bob Makani ambaye ni mtu wa shinyanga, wapi demokrasia ipo?
Je Shibuda alifukuzwa CCM...
Hakuna kitu kama hicho chaweza tokea kwa chuo chochote cha elimu ya juu sio tu SAUT ndani ya Kanda ya Ziwa Magharibi. VIJANA WANGU WANAHESHIMU MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA.
Dr. Rodrick Kabangila
Makamu Mwenyekiti-kanda ya Ziwa Magharibi.
Life chairman vipindi viwili tu na havijaisha! WanaCDM ndio wataamua mustakabali wa chama chao. Mbona success ya Mbowe ndani ya CDM hata kwenye waraka imeonyeshwa?
Huku Kanda ya ziwa magharibi (kagera, mwanza na geita) misingi inajengwa kwa kwenda mbele. Target ni wanachama 1,000,000 mpaka sasa tuko 1/3. CHAMA HIKI SASA NI ZAIDI YA MTU MMOJA. NI TAASISI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.