Recent content by Dr.Rodrick Kabangila

  1. D

    CHADEMA si Legelege-Dr Slaa

    Gamba sugu Usimsumbue Ben ana majukumu ya kitaifa, tuone makamanda wa kanda ya ziwa magharibi. Piga 0715477968.
  2. D

    Kulinda heshima yake, Mbowe asigombee uchaguzi wa ndani ya chama

    Hivi kuna uchaguzi wa kidemokrasia wa nafasi ya m/kiti wa Taifa ndani ya CCM? Miaka karibu 60 ya uhai wa CCM wenyeviti ni 4 wakati CHADEMA katika miaka takribani 20 wenyeviti ni 3 na kati yao yupo marehemu Bob Makani ambaye ni mtu wa shinyanga, wapi demokrasia ipo? Je Shibuda alifukuzwa CCM...
  3. D

    Tamko la CHADEMA mkoa wa Geita kuhusu Zitto kuvuliwa uongozi

    ---- Mkoa wa Geita hauna uongozi wa mkoa wala kurugenzi ya majimbo. Kuna mratibu wa mkoa.
  4. D

    CHADEMA Kanda ya Ziwa yapongeza maamuzi ya Mkutano Mkuu kuwavua Uongozi kina ZITTO!!

    Nani aliyenyanyaswa? Sisi tuko kanda hiyo na hilo ndio tamko la Chama kanda. Dr. Rodrick Kabangila Makamu M/kiti - Kanda ya Ziwa Magharibi
  5. D

    CHASO SAUT kuandamana kupinga Zitto na Mkumbo kuvuliwa uongozi

    Hakuna kitu kama hicho chaweza tokea kwa chuo chochote cha elimu ya juu sio tu SAUT ndani ya Kanda ya Ziwa Magharibi. VIJANA WANGU WANAHESHIMU MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA. Dr. Rodrick Kabangila Makamu Mwenyekiti-kanda ya Ziwa Magharibi.
  6. D

    Kwa nini Zitto anautaka sana uenyekiti CHADEMA?

    Ameng'ang'aniaje? Na kwa nini suala hili liwaume sana nyie Non-CDM?
  7. D

    Pendekezo: CHADEMA muwasamehe Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo

    Life chairman vipindi viwili tu na havijaisha! WanaCDM ndio wataamua mustakabali wa chama chao. Mbona success ya Mbowe ndani ya CDM hata kwenye waraka imeonyeshwa?
  8. D

    Mkutano wa Zitto & Dr Kitila Mkumbo kuwa streamed LIVE

    Huku Kanda ya ziwa magharibi (kagera, mwanza na geita) misingi inajengwa kwa kwenda mbele. Target ni wanachama 1,000,000 mpaka sasa tuko 1/3. CHAMA HIKI SASA NI ZAIDI YA MTU MMOJA. NI TAASISI.
Back
Top Bottom