Recent content by Dr Pesambili

  1. Dr Pesambili

    GE2020 Kuelekea Ikulu ya Tanzania 2020 yupo wa kushindana na Magufuli

    Magufuli ni Kiongozi Shupavu, mnenyekevu, mzalendo, mchapakazi, mcha Mungu, 100% ni halali yake.
  2. Dr Pesambili

    GE2020 Kuelekea Ikulu ya Tanzania 2020 yupo wa kushindana na Magufuli

    Ni nani hasa ambaye anaweza kunipa ushahidi wa dhati ambao hata nafsi yake inakiri kuwa ni wa kweli, Kuelekea IKulu ya Tanzania 2020 yupo wa kushindana na Magufuli? Hakika kama yupo anaweza kunisaidia nami kujua. Huyu wa kushindana nae atakuja na ajenda gani? Hawa wapinzani hivi ni kipi hasa...
  3. Dr Pesambili

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Naomba ya Samsung S 9+ Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Dr Pesambili

    Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

    Ndugu usitishwe na maneno kama Haya. Hatua uliyopiga ni kubwa. Angalia huyu ndugu milion 50 na bado ajamaliza finishing vyumba vitatu? Kupau 15 unapau nini? Ndio fundi wako anakupiga namna hii?? Kama kweli unajenga na sio porojo na umetumia kiasi hicho basi huyo fundi wako kamtimue haraka...
  5. Dr Pesambili

    Kiki za Zitto Kabwe zilozofeli kuichafua Serikali ya Magufuli

    Ha haha ndio maana nasema kila mara siasa ndicho kiwanda kisichohitaji maarifa au ujuzi wowote, isipokuwa mtu ajue uongo, unafiki na kujipendekeza pendekeza. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Dr Pesambili

    Mnaosema Yesu ni Mungu msisahau kuwa Yesu alikuwa fundi seremala ili kujipatia riziki yake

    Enyi kizazi cha nyoka. Nawambieni Tofauti na mwanadamu mwingine yeyote, Yesu aliishi mbinguni akiwa kiumbe wa roho kabla ya kuzaliwa hapa duniani. (Yohana 8:23) Alikuwa kiumbe wa kwanza kuumbwa na Mungu, naye alisaidia kuumba vitu vingine vyote. Anaitwa Mwana “mzaliwa pekee” wa Mungu kwa kuwa...
  7. Dr Pesambili

    Nimeikuta mahali, siyo mimi tafadhali, ni kitabu cha Ansbert Ngurumo

    Hii ni tabia mbaya, kwamba mapenzi yenu kwa mtu yazuie wengine wasiseme ukweli. Endeleeni kupiga mapambio kwa mapenzi yenu ila muwe makini msipende kutaka kuambikiza wengine maradhi yenu ya ujinga.
  8. Dr Pesambili

    Nimeikuta mahali, siyo mimi tafadhali, ni kitabu cha Ansbert Ngurumo

    Hawajabishwe kwa lipi kwanza umesoma vizuri maandishi ya mwandishi? Benjamin Franklin aliwahi kuandika "Sote tumezaliwa wajinga, tunahitaji bidii kidogo ili kuwa na maarifa, au bidii kubwa sana ili kuendelea kubaki wapumbavu. Baadhi huchagua njia ya pili.” sasa endelea kuwa mpumbuvu kumgeuza...
  9. Dr Pesambili

    Serikali: Pato la kila Mtanzania laongezeka kwa Tsh. 100,000. Dar na Mwanza vinara msongamano wa watu

    "Kuliko kuwapa wanasiasa ufunguo wa maisha yako, ni bora ubadili kitasa” yaani Hawa watu wanaona kama sote ni wajinga vile
Back
Top Bottom