Kifo kama kimepangwa ccm watakufa wawo,hakuna vita isiyokuwa na mwisho.
Cha msingi ni jinsi gani chadema tutamaliza vita hii.
Pia najua Mungu ataishindia chadema.
Naona sioni cha maana ambacho umekitoa hapa kWenye Jamavi.nakushauri tumia fani yako ya ualimu ukafundishe watoto wetu,achana na kuganga njaa wakati taaluma unayo.
Ukiangalia kwa jinsi ambavyo serikali inatapa tapa katika kesi hii utaona ni jinsi gani ambavyo wamepagawa.kiukweli Lwakatare lazima atashinda kwa kishindo kesi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.