nimeziona. Ni nzuri. Zinavutia. Hongera kwako kwa kupata habari nyeti kiasi hiki.
Lakini kama ulichoposta sio cha ukweli...nahisi katika siku zako mbaya duniani hii ya leo hutoisahau.
Sina hakika kama una taaluma ya usalama na utambuzi.
Kama ukweli hauko likizo!
Itazame mikono hiyo na uandike thread nyingine ikionesha ukweli wa ulichokiona.
KUNYWA KISTAARABU!
habari!
Jiwe ni kiumbe kisicho hai. Hakitendi, hakifanyi chochote.
Msemo huu haumaanishi jiwe bali unamaanisha bora kuongozwa na mtu asiyefanya lolote, asiyetusaidia lolote wala asiyetunufaisha chochote kuliko kuongozwa na mtu wa CCM hata kama anafanya na kutunufaisha.
Sina hakika kama jiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.