Wakuu vip hapo
Nimepewa taarifa mbaya San kwamba jana majira ya saa tatu za usk jirani angu alimpost mchepuko wake aje ampige shoo fupi nje ya choo, choo Cha nje ya public
Dad yule ni mpole sna jmn siku Dhani kama na yey angeweza kuwa na tabia mbaya ,binafsi niliwai mtaka lkn bas nikauchuna...
Hili limenikuta mkuu mwanamke kagoma kutoa mtot nikamlee kanganiaa na alfu mm nilikuwa namlipia medium scholl yey kajiona ataweza kulipa ada hyo kashindwa lawama zinananza na kunitangqza kwamba simtunzi mtto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.